Mijimama
miwili, Mwajuma Thabit ‘Rose Jimama’ (kushoto) na Fransisca Mbena
‘Chuma’ hivi karibuni ilinaswa na paparazi wetu ikishindana kuwa nani
ana makalio makubwa kuliko mwenzake bila kujali watu waliokuwa
wakiwakodolea macho.
Mijimama hiyo ilikutwa na paparazi wetu ikifanya kufuru hiyo Jumapili ya Agosti 21, mwaka huu nje ya nyumba moja iliyopo Ilala Bungoni, jijini Dar es Salaam.
Mijimama hiyo ilikutwa na paparazi wetu ikifanya kufuru hiyo Jumapili ya Agosti 21, mwaka huu nje ya nyumba moja iliyopo Ilala Bungoni, jijini Dar es Salaam.
Baadhi
ya wapita njia walipowaona wanawake hao ambao ni wake za watu, wengine
walifurahia huku baadhi wakionesha sura za kushangaa na kuhoji, kulikoni
watu wazima kama hao kufanya vitendo vya ovyo?
Kufuatia tukio hilo, mpigapicha wetu alizungumza na mmoja wao ambaye alisema walikuwa kwenye maandalizi ya shindano la Mwanamke Nyonga linalotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam siku ya Iddi Pili.
Kufuatia tukio hilo, mpigapicha wetu alizungumza na mmoja wao ambaye alisema walikuwa kwenye maandalizi ya shindano la Mwanamke Nyonga linalotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam siku ya Iddi Pili.
Jimama
hilo lilisema wameanza mazoezi mapema baada ya kusikia kuwa, katika
mpambano huo kutakuwa na mijimama mingine iliyokubuhu kwenye masuala ya
unyago, hususan mambo ya nyonga.
“Tumeamua kufanya mazoezi mapema kwa kuwa tumesikia wenzetu tunaokwenda kushindana nao ni mijimama ya nguvu na mambo yao si mchezo,” alisema Mwajuma.
“Tumeamua kufanya mazoezi mapema kwa kuwa tumesikia wenzetu tunaokwenda kushindana nao ni mijimama ya nguvu na mambo yao si mchezo,” alisema Mwajuma.