
Hatimaye baada ya drama zilizojitokeza kufuatia kifo cha Goldie, mwanamuziki huyo aliyefariki siku kadhaa zilizopita amezikwa jana. Mume wake Andrew Harvey alikuwa mmoja wa watu waliohudhuria. Tazama picha za mazishi hayo zilizopigwa na mtandao wa Nigeria Entertainment Today.




























