Wasanii wa kundi la Makomandoo wakiwa katika pozi na Ladnaa.
Baaadhi ya waalikwa wakipiga makofi wakati wa kuimba wimbo wa bethidei hiyo. BETHIDEI ya aliyewahi kuwa mtangazaji wa EATV katika kipindi cha Friday Night Live, Ladnaa, ilifana vya kutosha juzi ilipofanyika
ndani ya Viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam, na kuhudhuriwa na mastaa kibao.
SOURCE:Global Publisher
Baaadhi ya waalikwa wakipiga makofi wakati wa kuimba wimbo wa bethidei hiyo. BETHIDEI ya aliyewahi kuwa mtangazaji wa EATV katika kipindi cha Friday Night Live, Ladnaa, ilifana vya kutosha juzi ilipofanyika
ndani ya Viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam, na kuhudhuriwa na mastaa kibao.
SOURCE:Global Publisher











