Soma Jinsi Joh Makini anavyowachanganya watu kuhusu Msanii Lord Iyez
Rapper wa
kundi la Weusi Joh Makini ametumia ukurasa wake wa Facebook kuandika
kwamba kundi hilo halijamtenga wala kumfukuza mwanachama mwenzao Lord
Eyez ambaye anatuhumiwa kuiba Laptop ya watu na ana kesi inayoendelea
polisi.
No comments:
Post a Comment