Blogger Widgets

June 2, 2014

Moja Ya Picha Ilizo make Head Line Ni Hii ya Mh. Jakaya Mrisho Kikwete Kukutana Uso kwa Uso na Diamond Platnum Huko MANHATTAN, NEW YORK


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete masaa machache yaliyopita alipokutana na msanii wa muziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz, Manhattan, katika jiji la New York.

No comments:

Post a Comment