Hawa ni kati ya wasichana warembo na maarufu East Africa (bila ubishi) hususan kila mmoja katika nchi anakotoka kutokana na kuwa kwenye spotlight.
Kutoka Tanzania ni Agnes Gerald ambaye amepata a.k.a ya Agnes Masogange kutokana na kushiriki katika video ya wimbo ‘Masogange’ ya msanii wa R&B Belle 9 ambayo ilimuongezea umaarufu mara dufu, ameshatokea pia katika video nyingine kadhaa hapa Tanzania. Agnes ni model.
Kutoka Uganda here is the sexy boss lady Zari Hussein, huyu ni mwanamke mrembo ambaye baba yake ni mchanganyiko wa Burundi na Somalia, na mama yake ni mchanganyiko wa India na Mutaaro. Zari ni ufupisho wa jina lake kamili Zarinah Zaitun Hussein. Mrembo huyu ni mwanamuziki japo hajapata mafanikio makubwa sana kupitia muziki.
hebu chukua sekunde zako kadhaa kutathmini kila idara ya uzuri wa warembo hawa watatu kisha tupia comment yako chini tuambie nani unadhani ni ‘hot’ kuliko wenzake?
From:Bongo5
No comments:
Post a Comment