T
T.I.D Akiwa ndani ya Power Breakfast Ijumaa 31/5/2013 akipiga story na Barbara Hassan
Msanii wa filamu Kajala akiwa ndani ya Leo Tena na Dina Marios.
Huyu
ni kaka wa marehemu Albert Mangwea msanii Bongo Flava "Ngwair"
aliyefariki siku ya Jumanne 28/5/2013 huko Afrika Kusini,
kilichosababisha kifo chake bado ripoti haijatolewa. Mwili wa marehemu
Ngwair unategemewa kuwasili hapa Tanzania siku ya Jumamosi. Kwa taarifa
zaidi endelea kusikiliza Clouds
From:Clouds Media
No comments:
Post a Comment