Jose ambaye anatamba sana na kibao chake Badilisha kibao ambacho kimebeba jina Album yake mpya alioizindua mwezi uliopita hivi sasa yuko Nchini Marekani katika ziara yake ya kimuziki 'BADILISHA TOUR, Chamillione akiwa Nchini humo alipata nafasi ya kwenda kutembelea kaburi la marehemu Bruce Lee …
Bruce Lee alikuwa muanzilishi wa mchezo wa Karate Duniani kote ambae alizaliwa miaka ya 1940 November na kufariki 1973 July …
From:PRO24
No comments:
Post a Comment