Picha zikionesha Jinsi TUNDULISU Akichoma Kadi za CCM zilizorudishwa na Wananchi waliokuwa Kwenye Chama Hicho
Baada
ya kutoa hotuba nzito na zenye kugusa matatizo ya wananchi, wananchi
hao walirudisha kadi zao na kwa kuwa kadi hizo lissu hakuja nazo
akazichoma moto.
No comments:
Post a Comment