
September 12, 2013
Check Picha Mbali Mbali za Mwanamke aliyekamatwa Uwanja wa Ndege Akiwa na Mimba Bandia Iliyokuwa Ndani yake na Madawa ya Kulevya
Kila kukicha vita dhidi ya biashara
haramu ya dawa za kulevya inazidi kupamba moto, wakati mataifa
mbalimbali yakizidi kuimarisha udhibiti wa biashara hiyo, na
wafanyabiashara hiyo wanazidi kuja na mbinu mpya za kusafirisha dawa
hizo.

Huko Colombia mwanamke mmoja raia wa
Canada amekamatwa uwanja wa ndege akiwa na tumbo la ujauzito wa bandia
ambalo ndani yake alificha kilo mbili za dawa za kulevya aina ya
Cocaine.

Mpya Kuhusu Lulu wa The Late Kanumba
KUFANIKIWA kwa uzinduzi wa filamu ya
Foolish Age ya msanii Elizabeth Michael ‘Lulu’ uliofanyika hivi karibuni
katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, kumemfanya kinda
huyo anayetingisha katika tasnia hiyo kupata vitisho kutoka kwa mastaa
wenzake.
Habari kutoka vyanzo mbalimbali ndani ya fani hiyo zinasema katika uzinduzi huo, msanii huyo alifunika na kuonyesha dalili zote za kuwazima mastaa wenzake ambao kwa muda mrefu wamekuwa juu.
Taarifa hizo zinasema staa huyo wa Bongo Muvi anatafutwa kwa kila namna, usiku na mchana ili kuhakikisha nyota yake inafifia.
Madai hayo yamekuja zaidi baada ya uzinduzi huo kufana kwani pamoja na mambo mengine, hata jinsi alivyokuwa amejipanga kwa walinzi wake, lilikuwa ni jambo kubwa ambalo linafanana na inavyotokea katika shughuli za mastaa mbalimbali wa majuu.
Mwandishi wetu aliamua kufunga safari hadi maskani kwao pande za Tegeta, lakini msanii huyo hakupenda paparazi afike kwao hivyo mazungumzo yao kufanyika kama ifuatavyo kwa njia ya simu ya kiganjani.
Mwandishi: Mambo vipi Lulu?
Lulu: Salama tuu za kwako?
Mwandishi: Salama, vipi umesikia vitisho vyako kutoka kwa mastaa wa Bongo Muvi wanaodai kuwa umekuja kuwapita kisanii?
Lulu: Hapana sijasikia, lakini kama wanatoa vitisho lazima wakubaliane na ukweli kwamba lazima awepo wa kwanza na wa mwisho, wakaze buti.
Mwandishi: Umejipangaje kukabiliana na hilo?
Habari kutoka vyanzo mbalimbali ndani ya fani hiyo zinasema katika uzinduzi huo, msanii huyo alifunika na kuonyesha dalili zote za kuwazima mastaa wenzake ambao kwa muda mrefu wamekuwa juu.
Taarifa hizo zinasema staa huyo wa Bongo Muvi anatafutwa kwa kila namna, usiku na mchana ili kuhakikisha nyota yake inafifia.
Madai hayo yamekuja zaidi baada ya uzinduzi huo kufana kwani pamoja na mambo mengine, hata jinsi alivyokuwa amejipanga kwa walinzi wake, lilikuwa ni jambo kubwa ambalo linafanana na inavyotokea katika shughuli za mastaa mbalimbali wa majuu.
Mwandishi wetu aliamua kufunga safari hadi maskani kwao pande za Tegeta, lakini msanii huyo hakupenda paparazi afike kwao hivyo mazungumzo yao kufanyika kama ifuatavyo kwa njia ya simu ya kiganjani.
Mwandishi: Mambo vipi Lulu?
Lulu: Salama tuu za kwako?
Mwandishi: Salama, vipi umesikia vitisho vyako kutoka kwa mastaa wa Bongo Muvi wanaodai kuwa umekuja kuwapita kisanii?
Lulu: Hapana sijasikia, lakini kama wanatoa vitisho lazima wakubaliane na ukweli kwamba lazima awepo wa kwanza na wa mwisho, wakaze buti.
Mwandishi: Umejipangaje kukabiliana na hilo?
Ni Hapa Ndipo Beyonce Kidogo Apatwe na Aibu Baada ya Kifungo cha Nguo aliyoivaa Kutaka Kufunguka Ghafla Kifuani na Kuacha Maziwa Yote Nje
As the pair arrived at the Taverna Anema e Core on the island of Capri, a button on BeyoncĂ©’s already low-cut jumpsuit popped open, causing her to nearly encounter an embarrassing faux pas.
Sheria Mpya ya China:Uki Retweet Zaidi ya Mara 500 Unafungwa Jela
The law says that any libelous posts or messages will be considered “severe” breaches of the law if they are visited or clicked on more than 5,000 times or retweeted more than 500 times.
Those found guilty could face up to three years in jail, reports Chinese state media.
As if that weren’t alarming enough, the threshold for being charged with this crime includes offenses as vague and subjective as “damaging the national image” and “causing adverse international effects.”
The law is the latest attempt to crack down on “black PR firms,” companies that make money from removing unflattering information from the internet.
Among other things, black PR firms often target companies, spreading gossip or misinformation about them, and then approaching them for payment in exchange for removing the smear campaign.
It’s a big business, the Sina Weibo accounts controlled by a huge black PR firm that was just busted had a total audience of 220 million followers.
Since the campaign against “rumor-mongering” and “spreading false information” picked up in June, Shanghai police have opened more than 380 cases, while Henan police have investigated a whopping 463 cases, making 131 arrests.
And it’s not just Sina Weibo. The police are also watching Tencent’s
WeChat, which is organized mainly around private circles of friends.
Shuhudia Mke Mpya wa Mume Wa Marehemu Goldie wa Prezzo wakipigana Mabusu Kwenye Birthday Yake.EXCLUSIVE
Late singer, Goldie's husband, Andrew Harvey who many did not know until after her death seem to have moved on.
Seven months after late singer Goldie passed away, her husband, Andrew Harvey has found love again.
Andrew is currently dating a Malaysian woman named Beth Buenaventura. The couple were photographed kissing at his birthday party which held a few weeks back at Pavilion, Kuala Lumpur.
Mr Harvey moved to Malaysia a few years ago when the company he works for transferred him from Nigeria to Malaysia. Andrew and Beth are said to be engaged.

Seven months after late singer Goldie passed away, her husband, Andrew Harvey has found love again.
Andrew is currently dating a Malaysian woman named Beth Buenaventura. The couple were photographed kissing at his birthday party which held a few weeks back at Pavilion, Kuala Lumpur.
Mr Harvey moved to Malaysia a few years ago when the company he works for transferred him from Nigeria to Malaysia. Andrew and Beth are said to be engaged.

Check Picha za Bata Zinazoendelezwa na Msanii Jay Z na Beyonce + Blue Ivy Nchini Italy na Spain
Beyonce and Jay Z have shared a few personal pics from their cruise through Italy and Spain with their baby Blue Ivy.
The famous couple have been enjoying a Mediterranean getaway filled with luxury yachts, fine wine and adorable PDA, and now we can take a peek inside their international life of luxury.






The famous couple have been enjoying a Mediterranean getaway filled with luxury yachts, fine wine and adorable PDA, and now we can take a peek inside their international life of luxury.




Kigogo Ambaye ni Bosi wa Maduka Ya Simu Mjini Aibika Baada ya Video na Picha zake Akiwa Anavunja Amri ya Sita Kitandani Zamabazwa na Mke wake Baada ya Kuchoshwa na Tabia Yake ya Kutoka Nje Ya Ndoa
Kigogo
mmoja ambaye jina lake halikupatikana mara moja, anayefanya kazi
katika kampuni ya simu za mkononi na mwanamke aliyetajwa kwa jina la
Mwamvua anayedaiwa kuwa ni mke wa mtu wamerekodi video wakifanya uchafu
na ‘clip’ hiyo imevuja.
Habari za kuaminika kutoka kwa chanzo chetu makini zinasema kwamba mke wa kigogo huyo aitwaye
Inaelezwa kwamba, Zainab alianza kupatwa na wasiwasi na tabia ya mumewe muda mrefu, hivyo akaanza kumfuatilia kwa karibu, ambapo alifanikiwa kunasa meseji za mapenzi kati ya mumewe na Mwamvua.
Zainab alivumilia bila kumwambia mumewe, lakini aliendelea kumfuatilia ili apate uhakika.
“Aliamua kuchukua namba za simu za yule mwanamke kisha akampigia na kumuonya amuachie mumewe, lakini akamjibu mbovu,” alitonya mnyetishaji wetu
Akaongeza: “Lakini siku moja aliona picha ya huyo mwanamke akiwa kitandani kwenye simu ya mumewe. Alipoendelea kupekua zaidi, akaona video ikiwaonesha wapo kwenye mahaba. Akaihamishia kwenye simu yake haraka kwa njia ya Bluetooth.”
“Zainab alishachoshwa na mambo ya mume wake. Analalamika kuwa tangu amepandishwa cheo, hatulii nyumbani. Amekuwa malaya kupindukia. Uamuzi wake ulikuwa ni kuondoka kwa mumewe, lakini akaona ni bora kwanza amkomeshe,” alisema mnyetishaji wetu.
Habari za kuaminika kutoka kwa chanzo chetu makini zinasema kwamba mke wa kigogo huyo aitwaye
Inaelezwa kwamba, Zainab alianza kupatwa na wasiwasi na tabia ya mumewe muda mrefu, hivyo akaanza kumfuatilia kwa karibu, ambapo alifanikiwa kunasa meseji za mapenzi kati ya mumewe na Mwamvua.
Zainab alivumilia bila kumwambia mumewe, lakini aliendelea kumfuatilia ili apate uhakika.
“Aliamua kuchukua namba za simu za yule mwanamke kisha akampigia na kumuonya amuachie mumewe, lakini akamjibu mbovu,” alitonya mnyetishaji wetu
Akaongeza: “Lakini siku moja aliona picha ya huyo mwanamke akiwa kitandani kwenye simu ya mumewe. Alipoendelea kupekua zaidi, akaona video ikiwaonesha wapo kwenye mahaba. Akaihamishia kwenye simu yake haraka kwa njia ya Bluetooth.”
“Zainab alishachoshwa na mambo ya mume wake. Analalamika kuwa tangu amepandishwa cheo, hatulii nyumbani. Amekuwa malaya kupindukia. Uamuzi wake ulikuwa ni kuondoka kwa mumewe, lakini akaona ni bora kwanza amkomeshe,” alisema mnyetishaji wetu.
Mzee Majuto Aumbuka Baada ya Kuachana na Huyu Binti Aliyemuoa Miezi Minne Iliyopita na Kudumu Nae Kwa Muda Mfupi
Mzee Majuto akiwa na mkewe Rahma Abdallah siku ya ndoa yao.
Ndoa hiyo ambayo ilifungwa kwa siri jijini Dar Julai 28, mwaka huu na
kudumu siku 44, inaonekana imevunjika rasmi baada ya Mzee Majuto kutoa
talaka kupitia kwa msanii wa filamu aitwaye Rehema Omary.
WOTE NI WAJA LEO, WANDOKA LEO
Akizungumza na gazeti hili katika ofisi zetu, Bamaga-Mwenge, Dar,
Septemba 9, mwaka huu, Rahma alidai kuwa alikutana na Mzee Majuto jijini
Tanga na kuanzisha uhusiano wa kimapenzi kwa miezi sita kabla ya
kufunga ndoa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani uliopita.
“Tulifahamiana
Tanga, mimi ni mwenyeji wa huko kama ilivyo kwa Mzee Majuto, wakati
tukiwa kwenye uhusiano, ulipofika Mwezi wa Ramadhani akaona bora tufunge
ndoa ili tusiendelee kutenda dhambi, akaniambia dhamira yake hiyo nami
sikukataa,” alisema Rahma.
Watu Waizungumzia Hii Tattoo ya Amber Rose, Demu wa Wiz Khalifa
ni Chini na chini pamekuwa juu. Mashabiki wa Amber walikuwa mstari wa mbele kwenye kuliza maswali kuhusu mchoro huo bila kupata majibu wala maelezo kutoka kwa Amber ambaye ni mama mtoto wa Rapper Wiz Khalifa.
Mpaka sasa tafsiri ya wengi imekuwa inahusisha mchoro huo na imani za kishetani.
Mtoto wa H Baba na Frola Mvungi Kuwa Gumzo Anaitwa Tanzanite
Huyu Ndio Demu wa Rick Ross Ambaye Ame Make Headline............
Kama ilikupita basi daka hii mpya kutoka kwa Rozay, Miezi michache iliyopita aliachana na mpenzi wake wa muda mrefu maarufu kama Shateria Moragne-el, huyu ndiye binti aliye kuwa nae kwenye tukio la gari ya Rick Ross kupiga risasi wakati anatoka kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa.
Ukweli ni kwamba Rozay ametengana nae kwa muda sasa ila Binti huyo alifanya tukio hilo siri kwa marafiki zake na kuendelea kuwambia watu kuwa yupo na Rozay.
Huyu ndio mtoto mpya wa Rozay anaitwa Christelle Blanche.



















