Amber rose hivi mapema ametupia picha kwenye mtandao wa twitter
ikionesha ujauzito wake aliopewa na mchumba wake Wiz khalifah
Amber ambae alikuwa katupia chupi ya pinki iliofunika tatoo yake kwa chati na kiblauzi kilichoyabili matiti yake kwa nadranadra ,,
amber ameonekana mwenye
furaha sana baada ya kupata ujauzito huo ambao umemuweka karibu zaidi na
mchumba wake Wiz.Amber ambae alikuwa katupia chupi ya pinki iliofunika tatoo yake kwa chati na kiblauzi kilichoyabili matiti yake kwa nadranadra ,,