Muigizazji maarufu Swahiliwood Vicent Kigosi(Ray) amesema kuwa
anafurahia maisha ya ubachela na wala hafikirii kuoa hivi karibu tofauti
na baadhi ya mastaa wenzake ambao hukimbilia kuoa. Akizungumza na
Globalpulishers Ray alisema "Napenda maisha haya, sina mpango wa kuoa
kwa sasa, niko
kivyanguvyangu na suala la kuoa kwangu bado ni kitendawili ambacho bado
sijakipatia majibu"
Ray
Ray
No comments:
Post a Comment