Blogger Widgets

October 29, 2013

MIDA YA WATU WAZIMA:Yafahamu Sehemu 15 katika Mwili wa Mwaume Ambazo Zimejaa Hamu ya Kumfanya Ajisikia Kufanya Mapenzi Kila Mara Mnapokuwa Kitandani


Wanaume wamejaliwa Hisia za karibu sana,yaani kwao kupata Hamu ya kupeana Raha na Utamu ni Jambo rahisi sana tena kwa Haraka.Ingawa wanapata Hamu kwa urahisi,na hata kufika kileleni(orgasm) wanafika kwa urahisi,lakini unadhani wanaridhika kwa urahisi pia? Unadhani pale anapocum na kumwaga sperms ndio teyari umemfikisha? Jibu ni kwamba Mwanaume akicum akamwaga sperms,inamaanisha amefika kileleni(orgasm),na kitendo cha yeye kufika kileleni inamaanisha kwamba either HAMU yake imepungua au imemalizika(itategemea amecum kwenye round ya ngapi)


Lakini kumridhisha,kumfikisha,kumpagawisha na kumdatisha sio kitu rahisi especially kama hujui maeneo gani kwenye mwili wake yamejaa Hamu tena sana.

Kwanza Wanawake wengi wana utamaduni(tradition) wa 'kijinga' sana wakati wa kupeana Raha na Utamu(utanisamehe kama umefeel offended with the word 'kijinga')



 
Yaani wao shughuli yote wanamuachia Mwanaume,kazi yao ni kusikilizia na kuenjoy 'Utamu' tu,Hakuna kutoa support,Hakuna utundu au ujuzi wowote wanaoonyesha na Wengine hata kusema 'Pole' kila Baada ya Round kwao ni shida(as if wanaume ni marobot).  Wanawake wachache sana ndio utakuta wanastruggle on Bed kuwaridhisha Wanaume zao.(kuinama na kutanua miguu is nt enough(haitoshi) jamani,hata mende anaweza)

Baada ya 'makavu live' kufikisha message,sasa hebu tuone Hayo maeneo katika mwili wa Mwanaume ambayo yamejaa Hamu ya Kupata Raha na Utamu,

 

Mtandao wa Ghafla Umefichua Maovu ya Mwanadada PENDO akionekana Kwenye Hizi Picha Anasagana na Mwanamke Mwenzake.TAZAMA PICHA MBALIMBALI..+18

I limit my words becoz this photos by ghafla speakes. She is Pendo and she is a socialite...I'm am not shocked by this photos becoz thats all you have to do to maintain your title as asocialite. Now it time for photos....


Haya Sasa Hizi Hapa Picha za Diamond na Msanii Davido wakiwa Studio wanaingiza Vocal Kwa Ajari ya Your Number One Remix

Davido akiingiza sauti.....

Diamond akimwelekeza Davido baadhi ya maneno ya kiswahili aliyoyatumia ndani ya wimbo wa number

Umeliewa Hili Vazi la Diamond Platnum.NOOMA SANAA

Personally bado sijaisoma hii style especially hiyo kitu inayoninginia huko nyuma but kama mwanamuziki nadhani inafaa

Rihanna Awashangaza Watu Baada ya Kupost Hizi Picha Akiwa na Snoop Lion wanavuta Weed a.k.a Majani


Bongo Kama Mbele Siku Hizi:Wakati Mtoto wa Mabeste "Kendrick"Hajafikisha Hata Mwaka Mmoja Toka Azaliwe Apata Ngekewa ya kusainishwa ‘deal’ la kutangaza maduka ya ‘Pampers’

Mtoto wa rapper Mabeste, Kendrick ambaye ana miezi mitatu sasa, ataanza kuonekana akipitangaza maduka yanayouza ‘diapers’ maarufu kama Pampers, thanks kwa jitihada za baba yake.
941491_500655610033697_303479977_n
Kendrick

Akiongea na Bongo5, Mabeste amesema tayari amemfungulia mwanae akaunti kwenye mitandao ya kijamii ambako huko ndiko atakuwa akipromote maduka hayo.
“Mwezi ujao tu anaweza akaanza sababu nimemtengenezea page yake na blog yake ndio inakuja ambayo itakuwa inatangaza biashara kupitia social networks. Yale maduka yatakuwa yanamlipa mwisho wa mwezi,” alisema.
Mabesete

Tazama Vituko Ya Huyu Msanii wa Kike wa Bongo Movie

MSANII wa kike wa filamu Bongo anayetamba na filamu za Asili Swahiliwood Husna Chobis ‘Avana’ amedai kuwa hataki kuzaa na mwanaume wa Bongo kwa sababu wengi ni walaghai, na kwa sababu yeye ni maarufu anapata wakati mgumu kumjua ni mwanaume gani anaweza kuwa mkweli kwake, anaweza kuwa anamtamani kwa sababu ya jina lake tu.
.

husna athuman chobis 605
Husna Chobis
Husna ‘Avana’ akiwa katika pozi lake matata ni hatari sana
Husna Chobis 605 aa

Picha zikionesha Jinsi Master Duu wa Kenya wanavyojiaibisha Kwenye Car Wash Party

 


Exclusive: Izzo Bizness asema ataufunga mwaka na 'Inanichosha', awapa shavu Jay Moe, Fid Q na Shaa, agusia vinavyomchosha

Rapper mjasiriamali toka Mbeya Izzo Bizness amejipanga kuufunga mwaka huu kwa collabo nzito inayoitwa ‘Inanichosha’ iliyoguswa na mikono ya producer mkongwe na mmiliki wa MJ records, Joachim Kimario aka Master Jay.
Akiongea na tovuti ya Times fm, Izzo B amesema amewashirikisha wakali wa mashairi na flow Fid Q na Jay Moe, na member wa zamani wa Wakilisha, Shaa.
Amesema mdundo wa wimbo huo umetayarishwa na producer KTB wa Mbeya, kisha Vocal na Mixing zimefanywa na Master Jay.
Izzo Bizness amegusia ujumbe uliozungumziwa kwenye wimbo huo,ukiwa unayalenga yale yanayomchosha.
 “Kuna vitu tumeongea tu ambavyo vipo vinaendelea katika maisha, katika hii game ambavyo vinachosha, yaani kwamba habari flani na hali flani inayoendelea inachosha , unajua. Nafikiri ikitoka watu ndo wataelewa nini ambacho namaanisha zaidi kwa sababu utamu hatuwezi kuumaliza sasa hivi.” Amesema Izzo Bizness.
 Ni lini ngoma hiyo itaachiwa rasmi, ‘Ball Player hit maker’

Check Pozi za Vanessa Mdee wakiwa Kwenye Pozi na Inyanya Wa Naija Kwa Ajiri ya Collabo Ya Hatari Inayokuja


Siku hizi kila msanii mkubwa anayekutana na msanii mkubwa huwaza kufanya makubwa. Cha kwanza ni kubadilishana contacts na kuongea lugha ya muziki, collabo.
Baada ya Diamond Platnumz kufanya remix ya 'My Number One' na ‘Davido’ wa Nigeria aliyekutana naye Dar, huenda msanii wa B’Hitz, Vanessa Mdee aka Vee Money akawa na wazo la kufanya collabo na mkali wa ‘Kukere’ Iyanya wa Naija.
Hisia hizo zinakuja baada ya Vee Money kupost kwenye Instagram picha akiwa na Iyanya.
Japo hakuandika kilichozungumzwa kati yao lakini swali aliloliandika kusindikiza picha hiyo, linatoa picha kuwa huenda wawili hao waliongea pia kuhusu kufanya kazi siku moja.
Ama huenda tayari wimbo ukawa jikoni? Who knows?
“Could there be a song in the making? #It’sIYANYA #EastMeetsWest @iyanya,” ameandika Vanessa kwenye picha hiyo.

Tazama Range Rover Mpya Kabisa ya Irine Uwoya Pamoja na Tattoo Yake Ya Mkononi

STAA kunako tasnia ya filamu,Irene Uwoya ameuanika mkoko wake mpya Range Rover.
Kupitia mtandao wa instagram Uwoya alipost picha za gari hilo huku akiandika… I don't care… Watasubiri sanaaaa…. My bby.
Huku watu wakicoment kwa kumpongeza kuwa huwa anaongea kwa vitendo na siyo…
STAA kunako tasnia ya filamu,Irene Uwoya ameuanika mkoko wake mpya Range Rover.

Mtazame Sasa Msanii wa Bongo Movie "CHOPA" Akiwa Kwenye Mavazi ya CCM na Kutangaza Nia ya Kugombea Ubunge

Yule msanii wa vichekesho nchini alialeta msemo wa alimashauri ya kichwa bwana juma chikoka alimaarufu kwa jina la chopa mzee wa halimashauri ya kichwa bado ameonyesha kutokukata tamaa katika harakati zake za kuelekea mjengoni mara atakapotwaa kiti cha ubunge.

Chopa ambaye mwaka 2010 aligombea kiti hicho kwa tiketi ya ccm wilaya ya ilala lakini kura hazi kutosha hivyo akawa kashindwa kuendeleza harakati zake za kuingia mjengoni hivyo kwa sasa chopa ameibuka tena na kusema kuwa bado nia nguvu na hari ya kugombea ubunge anavyo na ana uhakika safari hii ni ushindi wa kishindo.

                           
Ujumbe waa chopa katika instagram unasomeka hi ......2010 nligombea ubunge lakin kura hazikutosha,sijakata tamaa na sitakata tamaa ktk mbio za kufikia ndoto zangu, japo kuna watu wazito wameanza mbinu chafu dhidi yangu,wakiendelea ntawataja hadharani..MUNGU nijaalie afya,uwezo, na ujasiri na nguvu koz naamin akuna kinachoshindika kikubwa ni uzalendo,uwezo,mipango na mbinu..aliandika chopa kupitia mtandao wa instagram


PICHA MBALIMBALI:Muigizaji wa Kike wa Ki Nageria Ambae Huwa Haoni Aibu Kuonesha Maziwa Yake Mbele za Watu..Anaitwa Cossy

Cossy Orjiakor



Nollywood Actress Cossy who is known for her Indecency photos on social media asked a shocking question on the 27th October 2013 on her twitter page. Cossy Orjiakor her fans, Can you marry a girl like me?

This is the moment of truth, would you marry a girl like Cossy Orjiakor?

Cossy Orjiakor tweets

Cossy OrjiakorCossy Orjiakor tweet

Lets have your replies if you can marry a lady like Cossy?

More pictures

Cossy Orjiakor

Cossy Orjiakor

Cossy Orjiakor

PICHA:Mganga akutwa na kiganja cha binadamu akimuuzia mteja wake kwa milioni 100 huko Mwanza..


Mtu mmoja jijini Mwanza anadaiwa kukamatwa na kiganja cha mtu akiwa anajiandaa kumuuzia mteja kwa sh million 100.

Washukiwa walikamatwa  jana  karibia na uwanja wa ndege wa Mwanza  wakifanya  biashara  hiyo  haramu....
 Baada  ya  upekuzi  wa  kina, mteja  alikuwa  ana  milioni  100  na mganga alikutwa  na   kiganja cha  binadamu  ambacho kilikuwa  kibichi kikitoa damu.

Picha:Jinsi wanawake wa Kenya Ambavyo Hawana Aibu Wakiwa Club




girl
There was a story about this sometime ago talking about how these girls went gaga in a club, no one gave the true story saying it was at a time they had told their folks they were going to a vigil. At a time in life ladies feel they have their lives to themselves, and only God

Lecturer wa Kike Afungua Email na Kukuta Hii Picha yake ya Utupu aliyotumiwa na Mwanafunzi wake



We've all fallen victim to sending email without the attachment. It's quite embarrassing sending that follow up message with "Whoops! Here's the attachment. I'm an idiot."Well, that old mistake would have been a blessing compared to the embarrassment a University of Iowa teacher's assistant is feeling after accidentally emailing niude photos of herself instead of a study guide to all of her students.

According to the Des Moines Register, the university has confirmed the event which was originally made public on the web.Now officials are asking anyone who received the message to delete it and not pass it on. I'm sure people are definitely respecting that requ– What's that? The photos are being passed all around the Internet? Shocking.

The website Total Frat Moves claims to have the original email and copies of the niude images (though they did not post the pics, so I guess you clicked that previous link a bit prematurely) saying, "The images are from a video chat that is quite sexual in nature. It appears that two people are ‘cyber-sexing' from different locations using video equipment."

Picha:Jinsi Akina Mama Wanavyowaharibu watoto Kisaikolojia +18