CharlieSilverwood_kolukirilancocuk_b
Mtoto mwenye umri wa miaka 11 shabiki wa mchezo wa soka nchini Uingereza amevunjika kiwiko cha mkono baada ya kupigwa na mpira wa ‘free kick’ iliyopigwa na nyota wa mpira wa miguu Cristiano Ronaldo.
Mtoto huyo Charlie Silverwood alibaki akijiinamia kwa maumivu baada ya mpira huo uliopiwa umbali wa yadi 35 kuvunja mfupa wa kiwiko cha mkoni mara mbili.
Hata hivyo kijana huyo alikuwa amedhamiria kutokosa kumalizia kuona mwisho wa mechi hiyo ya kirafiki kati ya timu yake ya Bournemouth na Real Madrid hivyo alibaki uwanjani kushuhudia dakika 84 za mchezo zilzokuwa zimebakia.
358054-Ronaldo-Shot-Breaks-Child-Wrist