Blogger Widgets
Showing posts with label Video. Show all posts
Showing posts with label Video. Show all posts

August 20, 2013

Me Napenda Exclusive Viseo Kama Hizi:NICK MBISHI Ngoma Inaitwa Dakika 2.

Check Video Ya Amber aliyoweka Instagram akiwa anakata Mauno na Shera la Harusi.Damn it,

Months after the fun duo welcomed their first son, Sebastian Taylor Thomaz, Amber Rose and Wiz Khalifa finally got hitched, July 8.
The newlyweds had their formal celebration over the weekend, during which Amber, dressed in all white, jounced her cakes in a twerk session prior to walking down the aisle.
Not a bad way to shake off those pre-wedding jitters. Check her out live below, then gander at a few pics of Wiz and the fellas, pre-ceremony, up top.

June 18, 2013

Check Vipande Vya Video Vikionesha Crip za Mwisho Kabisa za Marehemu Albert Mangwea akishoot Video south Africa Kabla ya Kifo Chake

Hiphop staa wa Tanzania Albert Mangweha alifariki dunia akiwa Afrika Kusini May 28 2013 ambapo mpaka sasa chanzo cha kifo chake hakijajulikana na siku kadhaa kabla ya kifo, Ngwea alifanya video ya wimbo alioshirikishwa na msanii Mtanzania anaeishi Afrika Kusini aitwae Mossred.
Hizi video hapa chini ni sehemu ya utengenezwaji wa hiyo video ambayo bado haijatoka….. ilifanyika Kimberley

June 8, 2013

Wengi Walivyosikia Hii Taarifa Walifikiri Utani Sasa SHUHUDIA HAPA VIDEO MBILI FUPI ZA SAMAKI MTU WA KIKE ALIYEONEKANA HUKO ISRAEL

Hivi majuzi huko Kiryat Ya,Israel baada ya watalii waliokuwa pembezeno mwa bahari hiyo kumuona nguva(SAMAKIMTU) akiwa juu ya mawe. Kutokana na habari hizi kuenea watalii wengi wamekuwa wakimiminika huko Israel wakiamini labda nawao watamuo.

June 7, 2013

Video Ya Ngono Ilizua Gumzo Big Brother Africa Week Hii Kati ya Bolt na Betty Si Hii Hapa.Duuuh Usiku wa Manane

 
Mpaka sasa tayari tumeshuhudia couple 4 za housemates katika Big Brother ‘The chase’ , lakini couple ya mu Ethiopia Betty na mu Sierra Leon Bolt ndio ilikuwa ya kwanza kufahamika katika wiki ya kwanza toka mchezo uanze (May 26).

bolt & betty

Couple ya Bolt na Betty ndio ilikuwa ya kwanza pia ku’kiss kama uthibitisho wa ‘love at first sight’. Baada ya hapo maisha ya mjengoni yaliendelea vizuri huku mapenzi ya ‘love birds’ hawa yakizidi kukua kila kukicha japo waliamua kupeleka mambo taratibu.



Lakini wiki hii inaonekana kiu ya toka (May 26) iliwakaba ‘love birds’ hawa na kuamua kuikata kwa kufanya kile wanachofanya wapenzi wanapokuwa faragha (watu wazima naamini mnanielewa) yes , they did it! Bolt iliifunga nut ya Betty usiku wa manane wakati washiriki wenzao wakiwa wamelala!!

May 30, 2013

Check Picha Mbalimbali na Video Ikimuosha P Funk Akimuelezea Albert Mangwea Huku Akitoa Machozi Ya Kulia Na Kuapa Kusimamia Haki Zote za Ngwea

1 Star2 Stars3 Stars4 Stars5 Stars


ngwea......
Kinachoendelea hivi sasa katika viwanja vya Leaders Club sasa ni kuwa karibuni wasanii wote pamoja wakishirikiana na familia ya Marehemu Albert Mangwair wamekutana kwaajili ya kupanga mikakati ya mazishi pamoja na kukusanya Rambi Rambi kwaajili ya msiba huo.
Hizi ni baadhi ya picha ambazo zinaonyesha baadhi ya wasanii na watu mbalimbali wakiwa katika viwanja hivyo.
Mmoja wa Ndugu Zake Marehemu Ngwair.
Mmoja wa Ndugu Zake Marehemu Ngwair.
ngwea.....
ngwea.......
ngwea....
ngwea...
ngwea........

May 29, 2013

Mzungu Kichaa Katusisitiza Fol Classic Tuioneshe Hii Video ya Maajabu Aliyoyafanya Marehemu Albert Mangwea Dar Live


One of Mzungu Kichaa's first Dar es Salaam shows back in 2008. The Tuko Pamoja promotional tour, featuring concerts in Nairobi, Mombasa, Arusha, Zanzibar and Dar es Salaam. During the tour Mzungu Kichaa was armed with a back track and a guitar. This song was an improvisational unplugged performance of what later would become his collaboration with Fid Q "Hey Lord".

May 27, 2013

Icheck Sasa Ile Video ya Tukio la Ajabu la Mwanamke alimuua Mume Kwa Maji Ya Moto


Mwanamume mmoja mjini mombasa amefariki kwa kile kinachodaiwa kusababishwa na mgogoro wa kinyumbani kati yake na mkewe.
Inadaiwa marehemu alimwagiwa maji moto na mkewe siku chache zilizopita hali ambayo imepelekea kifo chake.
 Ilibidi polisi kuingilia kati kumnusuru mama huyo dhidi ya hasira za umati uliotaka kumshambulia na  kumuua..