Showing posts with label Video. Show all posts
Showing posts with label Video. Show all posts
December 11, 2013
November 5, 2013
September 12, 2013
August 20, 2013
Check Video Ya Amber aliyoweka Instagram akiwa anakata Mauno na Shera la Harusi.Damn it,
Months after the fun duo welcomed their first son, Sebastian Taylor Thomaz, Amber Rose and Wiz Khalifa finally got hitched, July 8.
The newlyweds had their formal celebration over the weekend, during which Amber, dressed in all white, jounced her cakes in a twerk session prior to walking down the aisle.
Not a bad way to shake off those pre-wedding jitters. Check her out live below, then gander at a few pics of Wiz and the fellas, pre-ceremony, up top.
July 17, 2013
Sikiliza na Angalia MKASI - SO6E02 WITH VANESSA MDEE a.k.a V MONEY
June 29, 2013
Check sasa Ile Video Mpya ya Quick Rocka ft Ngwear Shaa - My Baby
June 18, 2013
Check Vipande Vya Video Vikionesha Crip za Mwisho Kabisa za Marehemu Albert Mangwea akishoot Video south Africa Kabla ya Kifo Chake
Hiphop staa wa Tanzania Albert Mangweha alifariki dunia akiwa
Afrika Kusini May 28 2013 ambapo mpaka sasa chanzo cha kifo chake
hakijajulikana na siku kadhaa kabla ya kifo, Ngwea
alifanya video ya wimbo alioshirikishwa na msanii Mtanzania anaeishi
Afrika Kusini aitwae Mossred.
Hizi video hapa chini ni sehemu ya utengenezwaji wa hiyo video ambayo bado haijatoka….. ilifanyika Kimberley
Hizi video hapa chini ni sehemu ya utengenezwaji wa hiyo video ambayo bado haijatoka….. ilifanyika Kimberley
June 15, 2013
Check Sasa Ile Videobya Show ya Lady Jay Dee.Miaka 13
June 10, 2013
June 8, 2013
Wengi Walivyosikia Hii Taarifa Walifikiri Utani Sasa SHUHUDIA HAPA VIDEO MBILI FUPI ZA SAMAKI MTU WA KIKE ALIYEONEKANA HUKO ISRAEL
Hivi
majuzi huko Kiryat Ya,Israel baada ya watalii waliokuwa pembezeno mwa
bahari hiyo kumuona nguva(SAMAKIMTU) akiwa juu ya mawe. Kutokana na
habari hizi kuenea watalii wengi wamekuwa wakimiminika huko Israel
wakiamini labda nawao watamuo.
June 7, 2013
Video Ya Ngono Ilizua Gumzo Big Brother Africa Week Hii Kati ya Bolt na Betty Si Hii Hapa.Duuuh Usiku wa Manane

Mpaka sasa tayari tumeshuhudia couple 4 za housemates katika Big
Brother ‘The chase’ , lakini couple ya mu Ethiopia Betty na mu Sierra
Leon Bolt ndio ilikuwa ya kwanza kufahamika katika wiki ya kwanza toka mchezo uanze (May 26).
Couple ya Bolt na Betty ndio ilikuwa ya kwanza pia ku’kiss kama
uthibitisho wa ‘love at first sight’. Baada ya hapo maisha ya mjengoni
yaliendelea vizuri huku mapenzi ya ‘love birds’ hawa yakizidi kukua kila
kukicha japo waliamua kupeleka mambo taratibu.
Lakini wiki hii inaonekana kiu ya toka (May 26) iliwakaba ‘love
birds’ hawa na kuamua kuikata kwa kufanya kile wanachofanya wapenzi
wanapokuwa faragha (watu wazima naamini mnanielewa) yes , they did it!
Bolt iliifunga nut ya Betty usiku wa manane wakati washiriki wenzao
wakiwa wamelala!!
June 5, 2013
June 3, 2013
May 31, 2013
May 30, 2013
Check Picha Mbalimbali na Video Ikimuosha P Funk Akimuelezea Albert Mangwea Huku Akitoa Machozi Ya Kulia Na Kuapa Kusimamia Haki Zote za Ngwea
Kinachoendelea hivi sasa katika viwanja vya Leaders Club sasa ni kuwa karibuni wasanii wote pamoja wakishirikiana na familia ya Marehemu Albert Mangwair wamekutana kwaajili ya kupanga mikakati ya mazishi pamoja na kukusanya Rambi Rambi kwaajili ya msiba huo.
Hizi ni baadhi ya picha ambazo zinaonyesha baadhi ya wasanii na watu mbalimbali wakiwa katika viwanja hivyo.
May 29, 2013
Mzungu Kichaa Katusisitiza Fol Classic Tuioneshe Hii Video ya Maajabu Aliyoyafanya Marehemu Albert Mangwea Dar Live
One of Mzungu Kichaa's first Dar es Salaam shows back in 2008. The Tuko Pamoja promotional tour, featuring concerts in Nairobi, Mombasa, Arusha, Zanzibar and Dar es Salaam. During the tour Mzungu Kichaa was armed with a back track and a guitar. This song was an improvisational unplugged performance of what later would become his collaboration with Fid Q "Hey Lord".
May 27, 2013
Icheck Sasa Ile Video ya Tukio la Ajabu la Mwanamke alimuua Mume Kwa Maji Ya Moto
Mwanamume mmoja mjini mombasa amefariki kwa kile kinachodaiwa kusababishwa na mgogoro wa kinyumbani kati yake na mkewe.
Inadaiwa marehemu alimwagiwa maji moto na mkewe siku chache zilizopita hali ambayo imepelekea kifo chake.
Ilibidi polisi kuingilia kati kumnusuru mama huyo dhidi ya hasira za umati uliotaka kumshambulia na kumuua..


