Blogger Widgets
Showing posts with label University Lens. Show all posts
Showing posts with label University Lens. Show all posts

March 20, 2014

Soma sababu Iliyofanya Mpaka Huyu Mwanafunzi wa UDOM Mwaka wa Tatu Kitivo cha Sayansi ya Jamii (Social Science) anayeishi Block Namba 11, chumba Namba 62, aliyejirusha Ghorofani hadi Chini

Screen Shot 2014-03-20 at 1.13.43 PMMwanafunzi wa Chuo Kikuu Dodoma – UDOM aitwae KAMUGISHA ISACK (24) Mhaya, Mwaka wa Tatu Kitivo cha Sayansi ya Jamii (Social Science) anayeishi Block Namba 11, chumba Namba 62, alijitupa kutoka ghorofa ya pili hadi chini na kusababisha majeraha sehemu za mdomoni, shingoni na kwenye paji la uso.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna msaidizi mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME amesema hili tukio limetokea terehe 18/03/2014 saa mbili na robo chuo kikuu cha Dodoma kwa mujibu wa Sylvester Onesmo wa jeshi la Polisi Dodoma.
Amesema uchunguzi wa awali umeonyesha chanzo cha tukio ni ulevi ambapo majeruhi alilazwa katika hospitali ya UDOM na baadaye kuhamishiwa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma na kuruhusiwa tarehe 20/03/2014 baada ya kuonekana hali yake inaendelea kuimarika.

November 2, 2013

Maajabu:Picha za Mwanafunzi wa Kike wa Udom Zasambaa Mtandaoni Baada ya Kuondoka Chuo na Kwenda Zanzibar kufanya Ufuska na Jamaa Yake Huyu

 
MDADA MWENYEWE NI HUYU. DENT mmoja katika Chuo Kikuu kimojawapo hapa nchini amepiga picha zisizo na maadili akiwa na njemba wake katika visiwa vya Zanzibar. Mwanafunzi huyo alionekana kutumia muda wa masomo kufanya mambo yake hayo, na kilichowashangaza wengi kile kitendo cha yeye kutoka DODOMA mpaka ZANZIBAR ili kutimiza haja zake katika kipindi ambacho wenzake walikuwa katika masomo..
DADA HUYO NA NJEMBA WAKE WAKIENDELEA KULA RAHA…..


August 6, 2013

Check Picha ya Mwanafunzi wa Kike wa Chuo aliyeuwawa Baada ya Kulishwa Chakula Kilichotiwa Sumu na Mtu Aliyekutana nae Kwa Mara ya Kwanza Baada Ya Kuwa Anachati Nae Facebook Kwa Muda Mrefu



Wito umetolewa kwa watoto wa kike kupunguza kwenda sehemu kukutana na watu wasiowafahamu au kwa kuwajua kwa uchache kupitia mitandao ya kijamii, hususan Face book ili kuepuka madhara ambayo siku za hivi karibuni yamekuwa yakiwakuta wengi.

Mwanafunzi huyo wa Shahada ya Sheria kutoka Abuja amefikwa na Umauti baada ya kula kinachosadikiwa kuwa sumu. Imeelezwa kuwa binti huyo alitoka chuoni na akamuaga room mate wake kwamba anakwenda kukutana na jamaa ambaye walikuwa wana chat kupitia face book, ingawa alikatazwa lakini aliamua kwenda tu.

July 17, 2013

Tambua Ukweli Uliosemwa na Mmoja wa wanafunzi wa wanaosoma vyuo vikuu vya dododm juu ya Hizi Picha na Video zinazosamabaa kwenye Mitando

Kama ni kweli basi itabidi tuseme kuwa wanafunzi wa vyuo vya Dodoma ndio wanaongoza kwa upigaji wa picha za utupu na video za ngono hapa Bongo. Kashfa za picha chafu kutoka UDOM, CBE Dodoma na vyuo vingine ndizo zimetawala mitandaoni lakini je, ni kweli au wanasingiziwa tu? Hata VIDEO HII MAARUFU KWA JICHO LA NGOMBE:inasemekana siyo wanafunzi wa CBE Dodoma ila tu ni wasela wa mtaani waliokuwa wakiishi karibu na chuo cha CBE Dodoma.

Nimelileta hili baada ya mdau mmoja kuleta picha, tena kwa mikwara mingi, akidai kuwa ametuma picha za mwanafunzi wa Education kutoka UDOM na CBE aliyekuwa Guest House akijiandaa kufanyamapenzi na lecturer wake; mmoja akiwa katika mikao ya kihasara hosteli na mwingine akiwa uchi katika mbuga za Serengeti. Hata hivyo baada ya kufanya uchunguzi kidogo tu tumegundua kuwa picha hizo zimetoka katika mtandao mmoja wa ngono kutoka Afrika Kusini na ule wa Rico unaojikita katika picha za wanawake wa Carribean na hasa Jamaica na Haiti ambako kusema kweli mazingira yao na yetu hayatofautiani sana.

July 7, 2013

Jinsi Vitendo vya Ngono vinavyosahamili Ndani Vyuo Vikuu vya Tanzania

Vitendo  vya  wanafunzi  kupigana  exile( kumpisha room ili angonoke na mpenzi wake)   vimekuwa  vikishika  kasi  ya  ajabu  katika  hosteli  za  wanafunzi  wa  vyuo  vikuu  mbalimbali ambao  kwao  limekuwa  ni  jambo  la  kawaida...!!

Hali  imekuwa  ni tofauti  kidogo  kwa  mwanafunzi  wa  chuo kimoja  hapa  nchini  ambaye  yuko  mwaka  wa  kwanza na anategemea kuingia mwaka wa pili.


Akiongea  na  mtandao  huu  kwa  sharti  la  kutotajwa  jina , mwanafunzi  huyo  amefunguka  na kudai  kuwa  Exile  imemuathiri  sana  kisaikolojia.Imemfanya  aishi  kama  mtumwa  huku  taaluma  yake  ikiyumba  kwa  kasi.

Hili  ni   simulizi  la  mwanafunzi  huyo:
 
"Maisha ya shule yana changamoto  nyingi sana.Kwa  mtu  yeyote  ambaye  ni  mcha  mungu  ni  lazima  itamuwia  vigumu  sana  kukabiliana  na  hali hii.

"Nasema  hivi  kwa  sababu  ndani  ya  hosteli  huwa  tunaishi  watu   tofauti  wenye malezi  tofauti.Kasheshe  ni  kwetu  sisi  first  year...

June 29, 2013

Picha Ikimuonesha Mrembo na Muhitimu wa Chuo Kikuu Mwaka "SAADAH" Aliyekamatwa na Madawa ya Kulevya

                                                  pretty saadah
Siku ya graduu yake mwaka jana apooo
A BUSINESSWOMAN, Saada Kilongo (26), appeared before the Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam yesterday

charged with trafficking narcotic drugs worth more than 170m/-.
Before Senior Resident Magistrate Nyigulila Mwasebo, the accused was not allowed to enter any please to the charge. She was

June 10, 2013

Picha za Mhadhiri wa chuo kikuu(Lecturer) Akitembezwa Uchi Baada Kufumaniwa na Watu Akiwa na Mwanafunzi wa Kike Aliyekuwa Anamtongoza Kwa Muda Mrefongoza Kwa Muda Mrefu na Kuamua Kutegeashea Mtego kwa Maksudi


Mhadhiri wa chuo kikuu cha Delta State huko nchini Nigeria alijikuta katika aibu kubwa baada ya kuvuliwa nguo na kubaki uchi wa mnyama baada ya mwanafunzi wa kike aliyekuwa akisumbuliwa na Mhadhiri huyo kuamua kumfanyia umafia kwa kumuwekea mtego.
Hatua ya kudharirishwa kwa Mhadhiri huyo ilikuja baada ya mwalimu huyo kumtishia Tega na kumwambia kuwa atamferisha kama hata kubali kufanyanae mapenzi.Kabla ya hapo Mhadhiri huyo aliwahi kumtongoza mwanafunzi huyo lakini mwanafunzi huyo alimkatalia kata kata baada ya kuona hivyo Mhadhiri huyo aliamua kutumia wadhifa alionao kwa kumtishia kuwa kama hato kubali kulala nae basi atamfelisha mtihani.
Baada ya kuona hivyo Tega aliamua kumkubalia Mhadhiri huyo na kumshawishi badala kwenda kwenye hoteli kuchukua chumba ni bora waende nyumbani alikopanga mwanafunzi huyo ili wapunguze gharama,kuona hivyo Mhadhiri huyo alikubali haraka na kwenda nyumbani kwa Tega bila kujua kuwa kuna mtego amewekewa kumbe kabla ya hapo Tega alikuwa amesha waambia majirani zake na wanafunzi wenzake kuwa atahakikisha anamrubuni Mhadhiri huyo mpaka akubali kuvua nguo akisha kubali tu anamuaga kuwa anakwenda chooni kisha anawapigia simu waje kumuumbua Mhadhiri huyo kwani milango yote alikuwa ameirudishia tu na alikuwa ameshawaelekeza chumba ambacho atakuwepo Mhadhiri huyo.

May 30, 2013

University Lens:Check Video ya Lecturer wa Chuo Alivyofumaniwa na Mwanafunzi wake Anaechukua Degree Wakifanya Mapenzi

If this video is really what I read about it, then there should be more of this type of disgrace for unprofessional lecturers. Nigerian Lecturer Gets Caught Pants Down in Ambrose Alli University. From what I read, this Ekpoma Engineering professor refused to pass a student unless she slept with him.  

May 28, 2013

University Lens:Check Sasa Picha Video ya Wanafunzi wa CBE Dodoma Walivyokuwa wanakirecord Wakifanya Mapenzi Chumbani na Fuatilia Interview Aliyofanyiwa


Baadhi ya wanafunzi  wa vyuo vikuu mbalimbali mjini Dodoma  wameoza kwa matukio machafu ya ngono..

Uchunguzi wetu umebaini kuwa siyo kila mwanachuo anayepata nafasi hiyo adimu ya kujiunga na elimu ya juu anafanya kile kilichokusudiwa, badala yake wanafanya kinyume kwa kujihusisha na vitendo haramu na hatarishi vya ngono.

Katika uchunguzi wa muda mrefu,tumefanikiwa kunasa matukio mbalimbali machafu yaliyopitiliza ya vitendo vya ngono  ambapo picha  na video ya ngono   ya  wanafunzi  wanaosoma chuo/COLLAGE   kimoja  mjini Dodoma   imenaswa laivu....
Tarehe 20  mwezi huu wa tano,tulipokea simu kutoka  kwa mdau mmoja  ambaye  aliipasha  juu ya kuwepo kwa mkanda wa ngono  chuoni hapo ambao umerekodiwa  na wanafunzi wa chuo/COLLAGE  hicho....

Exclusive:Unaweza Check Hapa Matokeo ya Semister ya Tano St Joseph College Of Information Technology Degree Computer Science








 Click  Kwenye Site ya Hapo Chini Kupata Matokeo Yako

 http://www.sjuit.ac.tz/coe/modelresults.php

May 17, 2013

University Lens:Check Picha ya Msichana wa Chuo Kikuu Aliyeshitakiwa Baada Ya Kuingia Chuo Akiwa Kavaa Kama Ya Papa Huku Akiwa Anavuta Sigara

 
Katherine B. O'Connor akifanya dhihaka zake. 

MWANAFUNZI mmoja wa kike wa Chuo Kikuu cha Carnegie Mellon ameshitakiwa Ijumaa kwa hali ya uvunjaji heshima na polisi wa kampasi baada ya Askofu Katoliki kulalamika kuhusu kutembea kwake hadharani akiwa uchi kuanzia kiunoni kwenda chini huku kavalia kama Papa.
Mwanafunzi mmoja wa kiume ambaye alikuwa uchi pia ameshitakiwa, lakini haikufahamika mara moja alichokuwa akifanya wakati wa gwaride la sanaa ya uch
oraji la majira ya bamvua ya Shule ya Pittsburgh mwezi uliopita.

Rais wa Chuo hicho, Jared Cohon alisema Ijumaa iliyopita kwamba mashitaka hayo madogo yalikuwa yamefunguliwa huko Allegheny County dhidi ya wanafunzi hao wawili na kwamba shule hiyo haitachukua hatua zozote zaidi za kinidhamu.

Alisema shule hiyo imebariki kujieleza kisanii lakini kujianika uchi hadharani ni kinyume cha sheria.

"Kuna ushindani wa thamani katika suala hapa: Carnegie Mellon inakusudia kuwa sehemu ambako mawazo yanaweza kuwasilishwa na kujadiliwa kwa uwazi, lakini pia ambapo watu wa historia zote, dini, na imani kujisikia wanakaribishwa na kupewa msaada," alisema Cohon.

Askofu David Zubik wa Dayosisi Katoliki ya Pittsburgh alilalamika baada ya gwaride hilo Aprili 18, ambapo mwanafunzi huyo wa kike - huku nywele zake za sehemu za siri zikiwa zimenyolewa kwa alama ya msalaba - alirusha kondomu kwa watazamaji. Cohon aliomba radhi wiki iliyopita kwa onesho hilo.

University Lens:Ushahidi Wa Baadhi Wa Wanafunzi CBE, VETA, UDSM kujiuza Kama Madada Poa


Wanafunzi wa kike wa chuo kikuu cha Dar es salaam [UDSM],Chuo cha elimu ya biashara [CBE]na chuo cha mamlaka ya Elimu na ufundi  stadi [VETA],Dar es salaam ,wamefikishwa katika mahakama ya jiji samora wakidaiwa kufanya biashara ya kuuza mili yao.



Washitakiwa hao waliokamatwa  katika eneo la kona Baa Ambiance Sinza wilayani kinondoni ambao ni miongoni mwa wanawake 35 wanaodaiwa kufanya biashara hiyo na wote walifikishwa mahakamani hapo.



Kesi hiyo ilikuwa chini ya hakimu Willian Mtaki ambapo muendesha mashitaka,bwana John Kijumbe,alisema wasichana hao walikamatwa katika mazingira tofautitofauti.



Wanafunzi hao ni Yasinta Kilimo mwenye miaka 21 CBE mkazi wa upanga,Morin Masatu miaka 19 UDSM,mkazi wa kinondoni na mwanafunzi wa VETA aliyefahamika kwa jina moja la Khadija.

May 16, 2013

University Lens: Baadhi Ya Picha za Ajabu za Mwanafunzi wa Kike wa Chuo Kikuu cha CBE zilizosambaa Baada ya Kusadikiwa Kuchanganya Mabwana

Hizi ni baadhi ya picha za wanafunzi wa chuo cha biashara CBE Dodoma ambazo zipo mtaani zimevuja baada ya kuchanganya ma bwana mapedeshee wa zaidi ya mmoja katika sehemu tofau tofauti kati kati ya mji wa Dodoma
 Pia chanzo cheti cha habari kilishindwa kuwataja hao mapedeshe kwa kuwa watu maarufu

May 15, 2013

University Lens:Sio Story Lakini Hii Picha Ndivyo wanafunzi wa Chuo Walivyokutwa Wakisagana Live Baada ya Camera Kutegeshwa Dirishani

 

Wakati nchi zote duniani zikiendelea kupambana na mahusiano ya jinsia moja kamera yetu ilifanikiwa kuyanasa matukio tofauta ya  wanafunzi wa kike katika chuo kimoja kilichopo katikati ya mji  wakisagana, Vitendo hivyo vimekuwa vikifanyika katika nyakati za

May 10, 2013

University Lens:Check Picha za Tukio Zima La Wanafunzi wa Kike waliofumwa Getini kwa Kigogo wakijiuza

WAREMBO watatu wanaodaiwa kuwa ni madenti wa chuo kikuu kimoja jijini Dar, waliojitambulisha kwa jina mojamoja, Rachel, Neema na Suzan, wamekumbana na balaa zito baada ya kupokea kibano cha kutosha, Ijumaa lina mkanda kamili.

Soo: Warembo hao watatu wakificha sura zao kwa aibu baada ya kubambwa na kushushiwa kichapo getini kwa kigogo.

Tukio hilo lililonaswa laivu na gazeti hili lilitokea maeneo ya Kijitonyama, jijini Dar, usiku wa saa 8:00, mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo madenti hao walipokea kibano ‘hevi’ kutoka kwa Polisi Jamii.

 
Kipondo: Madenti hao baada ya kusurubiwa na Polisi Jamii.

KERO
Warembo hao walifikwa na kasheshe hilo baada ya kugeuka kero kwenye geti la kigogo mmoja (jina linahifadhiwa kwa sababu maalum) kwa kuwa walionywa mara kadhaa kuacha kupanga foleni katika eneo hilo na kujihusisha na vitendo vya ngono.
“Unajua walikuwa kero sana. Yaani asubuhi kukicha utakuta mipira ya kiume imetapakaa kila sehemu. Mbaya zaidi utakuta watoto wakicheza mchana wanaokota hiyo mipira ya kiume na kupuliza kama puto,” alisema shuhuda mmoja aliyeamshwa na makelele ya warembo hao wakati wakila kibano.



 
Vilio: Warembo hao wakilia baada ya kichapo.

Aliendelea: “Unajua wakikaa hapa ni hatari tupu kwani wanaume wanaokuja kuwafuata wanaweza wakatudhuru kwa sababu hatuwajui.”

MALALAMIKO
Katika tukio hilo, walinzi hao wakiwa kwenye doria, walipokea malalamiko kwa mara 1000, kutoka kwa kigogo huyo akiomba msaada wa kuwaondoa warembo hao getini kwake wanaodaiwa kujiuza eneo hilo.

May 7, 2013

University Lens:Naileta Kwenu Hii Report ya Kusiamamishwa Kwa Kwa Mafunzo Chuo Kikuu cha Kampala

KIU

CHUO CHA KIU-DCC KUSIMAMISHWA KUTOA MAFUNZO YA SHAHADA ZA UZAMILI NA UZAMIVU


Kampala International University, Kampasi ya Dar-es-Salaam (KIU-DCC) kilichopo Gongo la Mboto, Dar-Es-Salaam ni Chuo kilichopewa idhibati na Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU). Kufuatia kuendesha mafunzo ya shahada ya Uzamili (Masters) na Shahada za Uzamivu (PhD) kinyume cha utaratibu na kutokua na wahadhiri wa kutosha wenye sifa stahili, Tume katika mkutano wake wa hivi karibuni ulikiamuru Kampala International University, Kampasi ya Dar-es-Salaam ifuatayo;

1. KIU isimamishe mara moja mafunzo yote ya shahada za juu (Postgraduate) ikiwa ni pamoja na Shahada za Uzamili (Masters) na Shahada za Uzamivu (PhD) katika kampasi ya Dar-es-Salaam.

2. KIU ishirikiane na wanafunzi wote iliyowadahili katika programu zilizotajwa hapo juu waweze kuhamia kwenye vyuo vingine vyenye idhibati ya kutoa mafunzo hayo.

Tume haitatambua shahada yeyote ya Uzamiili au Uzamivu itakayotolewa na chuo hicho kwa watakaosoma katika kampasi ya Dar-es-Salaam. Angalizo:

May 4, 2013

Soma Mchezo uliochezwa Mpaka mwanafunzi wa IFM Kulishwa Mpaka Kufariki Baada ya Kutembea na Mke Wa Mtu


Habari   zilizotufikia  toka  IFM- Dar es salaam  ni  kwamba  mwanafunzi  mmoja ambaye  bado  hatujafanikiwa  kulipata  jina  lake  amefariki  dunia  kwa  kulishwa  sumu  katika  chakula  alicholetewa  na  mpenzi  wake  ambaye  ni  mke  wa  mtu......


Taarifa  zaidi  zinadai  kwamba Mwanafunzi huyo alikuwa na uhusiano wa karibu sana na mke  wa mtu  ambaye  mbali  na  starehe  za  kimapenzi  alikuwa  pia  anampekea  chakula  cha  jioni


Baada ya  mchezo  huo  kudumu  kwa  muda, mume wa  mwanamke  aliusoma  mchezo  mzima  na  kuandaa  tego  la  kuwaangamiza  wote....


Habari  zinadai  kwamba  Siku ya jumatano jioni mwanaume  huyo aliwahi  kurudi  nyumbani   na  kufanikiwa  kukinasa  chakula  kilichokuwa  kimeandaliwa  tayari  kwa  kupelekwa  kwa  huyo  mwanafunzi  ambaye  alikuwa  anatembea  na  mke wake.....


Baada  ya  kukinasa, alijifanya  kuzuga  na  kupotezea...Mkewe  alipotoka  alikichukua  na  kukitia  sumu  chakula  hicho  na  kisha  kukiweka   kama  kilivyokuwa  kimeandaliwa....

April 24, 2013

Picha:Shuhudia Unyama aliofanyiwa Mwanafunzi wa Chuo Cha Uhasibu Arusha.SAMAHANI KWA PICHA HII

Picha  ya  marehemu  Henry Koga  baada  ya  kuchomwa  kisu  na  kufariki  hapo hapo  jana  usiku  katika  chuo  cha  uhasibu  Arusha.....

Mwanafunzi  huyo  Alikuwa Masomoni Mida Ya Usiku Na Alipomaliza Aliondoka Na Kuelekea Maeneo Ya Esami. Kabla Hajafika Eneo La Malazi (Hostel) alipigiwa Simu na Mwenzake amsubiri Ili Waende Wote Hostel. 
   Marehemu  Henry  katika enzi za uhai wake....

Wakati anamsubiri Rafiki Yake Kwenda Hostel, Kuna Bajaj Ilifika Eneo Hilo Na Watu Hao Wasiojulikana Wakataka Pesa Kutoka Kwa Mwanafunzi Huyo...Wakati  wakiendelea  kuzozana, rafiki  yake  naye  alifika.....