Blogger Widgets
Showing posts with label Comedy. Show all posts
Showing posts with label Comedy. Show all posts

May 26, 2013

Mkono wa sheria Umewageukia Wachekeshaji wa Ze Comedy Kwa Kupiga Hizi Picha kwa Kuwazalilisha


Picha za kundi la Ze Komedy  linalorusha kipindi chake kupitia televisheni ya East Africa TV zinazowaonesha wasanii hao wakiwa na mabint ufukweni zimechukua sura mpya baada ya wanasheria kuahidi kuzisaidia familia za wazazi wa mabint hao.

Wakitoa maoni yao kwa nyakati tofauti, wananchi hao wamesema" Nimeziona picha hizo kupitia mtandao wenu kweli imeniuma kama mzazi kwani huo ni unyanyasaji ambao haukubariki hata kidogo naziomba familia za mabinti hao kuchukuwa hatua kali ikiwa ni pamoja na kushtaki ili iwe fundisho kwa wasanii wengine wanaopenda kudhalilisha watu wengine kwa masrahi yao binafsi" Alisema Fortunatus Kasomfi ambae ni mtanzania anaeishi nchini Afrika Kusini

Aidha nae Hawamu Juma ambae ni mkazi wa Arusha maeneo ya Unga Limited ambae ni Mwanasheria maarufu Mkoani humo alioneshwa kusikitishwa sana na tukio na kuwashauri wazazi wa wasichana hao kumtafuta kwa ajili ya kuwafungulia mashtaka wasanii hao

" Napenda kuwashauri wazazi wa wabinti hao kama wanahitaji msaada wa kisheria wanitafute kupitia simu namba 0713-146416 nitawapa mawazo ya kitaalam ya kisheria ili wasanii hao wafikishwe mahakamani" Alisema Mwanasheria huyo



Taarifa za ndani ya chungu zinadai kuwa kulikuwa na ushawishwaji mkubwa kwa mabinti hao wakati wa kupigana picha hizo kwa madai kuwa watasaidiwa kuwa mastaa kama watapiga picha hizo na mastaa hao.

May 20, 2013

Baadhi ya Picha Zikimuonesha Drake Kwenye Movie ya Comedy Akiact Enzi za Miaka 70 na Wigi Lake Kichwani.

Kama umeshawahi kuona picha za watu wa miaka ya 70, walikuwa na style yao ya uvaaji ambayo ni pamoja na mawigi makubwa. Kwa sasa wapo watu ambao huvaa hivyo kama fashion tu.
drake 70-3
Rapper kutoka Canada Drake ataonekana katika movie ya comedy inayoitwa Anchorman 2 huku akiwa amepiga mavazi pamoja na wigi kubwa style zilizokuwa zikitumika miaka ya 70.
Comedy film ya Anchorman 2 inategemewa kutoka December 20, 2013
drake 70 new

May 9, 2013

Hii Inaitwa "HATA TUKEFELI MATOKEO YATAFUTWA NA KUSAHISWA UPYA"


Kumekuwa  na   mvutano  mkubwa  kati  ya  wanataaluma  na  wanasiasa  kuhusu  suala  la  elimu  hapa  nchini.....

Wanataaluma  wengi  wanapinga  uamuzi  wa  serikali  kuyafuta  matokeo  ya  kidato  cha nne  kwa  madai  kwamba  hilo  siyo  suluhisho  la  la  tatizo ......


Wasomi  hao  wanadai  kwamba  hiyo  ni  njia  ya  serikali  kujisafisha  kisiasa  na  kukwepa  kujiuzulu  kama  njia  mojawapo  ya  kuwajibika....

Wakitoa  maoni  kwa  nyakati  tofauti, wanataaluma  hao wanaamini  kuwa, upungufu  wa  walimu, mgogoro  ulipo  baina  ya  serikali  na   walimu,  nidhamu  mbovu  shuleni   ( baada  ya  serikali  kuzuia  matumizi  ya  viboko), ukosefu  wa vitabu  na  maktaba  ndo  vitu vya  msingi   ambavyo vimesababisha  ubovu  wa  matokeo......

March 7, 2013

King Majuto Kutaja Wachawi wa Tasnia ya Uchakeshaji wa Tanzania


MCHEKESHAJI nguli hapa nchini, Amri Athuman ‘King Majuto’ ameweka wazi kuwa, wasambazaji wa kazi za sanaa wamechangia kwa kiasi kikubwa kuyumba kwa soko la filamu za vichekesho.

King Majuto aliyasema hayo jijini Dar es Salaam, katika mazungumzo maalum na Saluti5 juu ya maoni aliyonayo kuhusiana na maendeleo ya filamu za Komedi hapa nchini.

“Unajua, unaweza kuandaa komedi yako kwa hata zaidi ya milioni 7, lakini unapompelekea msambazaji anataka kuinunua kwa milioni 2,” alisema King Majuto.

March 6, 2013

Picha za Dr. Cheni akiwa Tanga na Wachekeshaji wa VITUKO SHOW.Huku Masele Huku Masai Nyotambofu na Mamaa Leila Tot wa Breez Fm Radio

Dr.cheni na Masai Nyotambofu na Mtangazaji wa Breez Fm Radio Leila Tot
 Dr.cheni na Masele Cha Pombe na Mtangazaji wa Breez Fm Radio Leila Tot
 Dr.cheni  Masele Cha Pombe wakiwa kwenye Pozi
 Dr.cheni  na Masai Nyotambofu
 wakiwa kwenye Pozi
 
Msanii wa bOngo Movie Dr. Cheni alifanya Safari Mpaka Tanga Kwa Ajiri ya Shughuli za Huku Na Huku na kuamua Kufunga Safari ya Moja Kwa Moja Mpaka kwenye Kundi la Magwiji wa Kuchekesha la VITUKO SHOW Chini ya Al-YamayProduction Limited Liliweka Kambi yake ndani ya Tanga
Dr.Chein alipata Muda wa Kuonana na Gwiji la Lugha Ya Kimasai East Africa Yote Gilliady Severine a.k.a Masai Nyotambofu Pamoja na Masele cha Pombe

March 3, 2013

Mchekeshaji na Gwiji la Lugha ya Kimasai "MASAI NYOTAMBOFU" akiwa ndani ya Interview Kali

Dj Chopazon akiwekiweka mambo sawa kabla ya kufanya Intervew na (Masai Nyotambofu)
Mchekeshaji maarufu Tanzania.
Hapa mambo ndio yalianza kama kawaida katika kipindi cha ''The Super Star Show'' Ndani ya
studio za 100.6 Breez fm Tanga mjini.
DJ Chopazon ni miongoni mwa madj wakali wanaofanya vizuri katika Radio hii.

Gilliady Severine
( Masai Nyotambofu ) Mchekeshaji kutoka Al-Riyamy Production anaetamba katika tasnia ya uchekeshaji kutoka kundi la BONGO SUPER STAR'S COMEDY wanaorusha kipindi chao cha VITUKO SHOW katika runinga ya CHARNEL TEN kipindi ambacho sasahivi ni gumzo hapa nchini, Leo saa nane
mchana alifanya mahojiano na Radio Breez ndani ya Tanga.
Msanii huyu alizungumzia maisha yake kwa ujumla pamoja na kazi zake kwa ujumla pia alizungumzia
kilichomvutia kuingia kwenye fani ya uchekeshaji pamoja na muziki wa kizazi kipya. Si haya tu alisema mengi tofauti
za mafanikio ya muziki na maigizo.

February 14, 2013

Picha mabalimbali za Mchina akila nyoka mzima mzima then nyoka anatokea Puani

Mtu huyu alionekana kuwaacha watu wengi midomo wazi pale alipoweka nyoka mdomoni mwake na nyoka hizo kutokea puani. Tendo hilo lililowaacha watu wakitaharuki lilifanyika katika jiji la Beiging China wakati wakazi wa China wakisherehekea sikukuu ya mwaka mpya hapo jana.

Hatahivyo sherehe hizo ziliendelea katika maeneo mbali mbali ya China ambapo pia walikuwa wakisherehekea kumbukumbu za mwaka wa nyoka.

February 13, 2013

Siri Kubwa ya Mzee majuto ya Kuonana na Mh.Jakaya Kikwete

 
Stori: Mwaija Salum
STADI wa sanaa za maonesho nchini, Amri Athuman ‘King Majuto’ amesema ameamua kumtafuta Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete kwa sababu ana siri nzito anayotaka kumpa.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete.
Akizungumza na Risasi Mchanganyiko juzi jijini Dar es Saalam, mkongwe huyo alisema ni kweli anahitaji msaada wa trekta  ambao anaweza kupewa na wasaidizi wake, lakini ana mengi anayotaka kumwambia rais.
 
Amri Athuman ‘King Majuto’

January 12, 2013

Comedy:Kweli Mchina atatuua

  Umati wa wananchi wakishangaa kituko hicho ambacho inasemekana gari ambalo asili yake inatengenezwa China

January 8, 2013

Comedy:Huyu kweli ni mbwa Mcharuko


  Kamera ya Mdaku leo inakuletea kioja cha aina yake pale mwanamke mmoja alipokuwa katika ka party huko mamtoni, huku akiwa kambeba mbwa wake na anaangalia pembeni, kumbe "bobi" huyo alishamaindi mzigo wa pembeni.