Blogger Widgets
Showing posts with label Udaku. Show all posts
Showing posts with label Udaku. Show all posts

June 20, 2014

Tazama Picha za Fumanizi Lililo Make Headline Baada ya Mume Kumfumania Mke wake Akiwa na Rafiki wa Mume wake

Mume aliyejulikana kwa jina moja la Ngosha, mkazi wa Mabibo jijini Dar, amemfumania rafiki yake aitwaye Jazira akiwa chumbani na mkewe Jack wakiivunja amri ya sita ya Mwenyezi Mungu.
Tukio hilo lilitokea Jumanne iliyopita saa 12 alfajiri ambapo ilidaiwa kuwa Jack alikuwa chumbani na mwanaume huyo ambaye ni mpangaji, wenzake wakipeana maraha.


 
Picha tofauti juu zikionesha mke wa mtu na mgoni wake katika fumanizi liliotokea.
Imedaiwa kuwa, wawili hao walikuwa wakimtegea Ngosha akitoka kwenda katika shughuli zake, Jazira alikuwa akizama katika chumba cha rafiki yake na kufanya mchezo wa kikubwa.

KERO YAVUJISHWA NA MAJIRANI
Wapangaji wenziye na Jack wamedai kuwa, mke huyo wa mtu ambaye ana miezi miwili tangu aolewe kutoka mkoani Tabora, amekuwa kero katika nyumba hiyo kwani amekuwa akipiga kelele za kimahaba nyakati za asubuhi ambapo watu wengi wanakuwa wakielekea kazini.

Hii ni nyumba waliyopanga wafumaniwa hao.
“Hata sisi wanawake tunaoishi nyumba hiyo tuna waume zetu tunawalilia lakini kinachotusikitisha mwenzetu anamlilia Jazira badala ya mumewe ambaye anakuwa amekwenda kazini,” alisema mmoja wa wapangaji wa nyumba hiyo.

Baadhi ya raia waliofika kushuhudia tukio hilo.
MLINZI ABUMBURUA   
Imeelezwa kuwa, siku hiyo mlinzi wa msikiti alikwenda kumwamsha Ngosha kwenda kusogeza gari lake ili watu wapite na alipofika katika chumba chake, alikuta mlango wa sebuleni ukiwa wazi lakini hakukuwa na mtu, ila chumbani kwake kulisikika redio ikizungumza kwa sauti kubwa.


June 5, 2014

Picha: Msiba wa Tyson wamaliza ugomvi wa Wema na Kajala? TAZAMA PICHA

Huenda ule ugomvi kati ya Wema Sepetu na Kajala ukawa umeisha kutokana na matukio mbalimbali ya picha hasa za msiba wa George Tyson.
Kajala na Masanja
Kajala na Aunt Ezekiel
Mtandao wa Global Publishers umedai kuwa ugomvi Wema Sepetu na Kajala Masanja umekwisha kufuatia kukalishwa katika kikao cha siri kilichofanyika kwenye msiba wa aliyekuwa muongozaji wa filamu marehemu George Otieno ‘Tyson’.
Aunt Ezekiel,Kajala pamoja na wenzake
Aunt Ezekiel,Kajala pamoja na wenzake
Hata hivyo, katika mazishi ya marehemu Rachel Haule katika makaburi ya Kinondoni Wema Sepetu na Kajala Masanja kila mmoja alikaa kwa kundi lake.
Wema akiwa amekaa na wenzake
Wema akiwa amekaa na wenzake kwenye msiba wa Rachel Haule

Picha: Kama huyu ndio msichana aliyebakwa na mume wa Flora Mbasha, basi ni shidaah!! Na Kwa Style Hii Mume wa Florah Mbasha Lazima Uzarendo Umshinde

10376292_10152056011617000_3889682337102053884_n 
Mume wa muimbaji wa muziki wa injili Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha ameendelea kulikimbia jeshi la polisi kwa tuhuma za kumbaka shemeji yake. Hadi sasa haijulikani alipo. Hata hivyo, picha ya anayedaiwa kuwa ndiye shemeji yake imesambaa kwenye mitandao ya kijamii na kuzua utata mtupu. Unahisi Mbasha

Soma Story Iliyomake HeadLine Kuhusu Habari kuvunjika kwa Ndoa ya Florah Mbasha Na Mume Wake

BAADA ya kudumu kwa zaidi ya miaka 10, imebainika kuwa ndoa ya mwanamuziki mahiri wa muziki wa Injili Bongo, Flora na mumewe Emmanuel Mbasha ipo chali kwa maana ya kuanguka huku ikidaiwa kuwa, kusimama imara tena inawezekana lakini ni kazi kubwa, Amani limefukunyua mazito.
Flora Mbasha akiwa na mumewe Emmanuel Mbasha.
Hilo limejitokeza wiki moja baada ya madai ya mwanaume huyo kudaiwa kumbaka shemeji yake na kesi ipo polisi.

Imeelezwa Flora na mumewe ambao walifunga ndoa Agosti 22, 2002 wamepita katika migogoro mizito lakini wawili hao walikuwa wakiyamaliza kifamilia hadi kufikia hili la hivi karibuni ndilo lililoziba mataumaini ya wawili hao kuishi kama mume na mke.
 

Chanzo kilicho karibu na wawili hao kimeeleza kuwa, mzizi wa wawili hao kugombana ulichochewa na mwanamke mmoja (jina tunalo) ambaye alikuwa akikinzana na ushauri wa Mbasha mara kwa mara.


“Kuna vitu Mbasha alikuwa akimshauri huyo mama lakini walikuwa wakipishana Kiswahili  na hapo ndipo tatizo lilipokua hadi kufikia hatua ya kumwagana,” kilisema chanzo.

Flora na mumewe Emmanuel Mbasha wakiwa kwenye pozi.
TUJIUNGE NA MBASHA
Mwishoni mwa wiki iliyopita, Emmanuel alizungumza na mwandishi wetu ambapo alikiri ndoa yake haina uhai tena na si rahisi kurejea katika hali ya kawaida licha ya kudai kuwa bado anampenda mkewe.

Soma Story Ya Msani wa Kike wa Bongo Movie Aliyeamka Asubuhi na Kukuta Kachanjwa Chale Mwili Mzima...Anadai Yalitaka Kumtokea Kama Ya Marehemu Rachel

Mwigizaji mwenye figa ya aina yake Bongo Movie, Tamrina Posh ‘Amanda’. 
MMWIGIZAJI mwenye figa ya aina yake Bongo Movie, Tamrina Posh ‘Amanda’ ameamka na kushtuka akiwa amechanjwa chale na watu wasiojulikana kama alivyowahi kufanyiwa marehemu Recho.
Akizungumzia tukio hilo, Amanda alisema lilitokea siku ambayo dairekta mkongwe nchini George Tyson alipofariki dunia (Mei 30) ambapo hakujua ni nani aliyemfanyia ‘unyambilisi’ huo usiku kwani alishtuka asubuhi na kuona akivuja damu zikiashiria kuchanjwa kwa wembe
Marehemu Recho Haule enzi za uhai wake.

June 2, 2014

Tazama Picha Jinsi Diva wa Clouds Fm Atakavyouza Kwenye Video ya nyimbo ya WAUE ilioimbwa na Chege na Temba


Mwanadada, Mrembo, Muimbaji,Mtangazaji  wa Clouds FM, DIVA THE BAWSE kwa mara ya kwanza ataonekana kwenye VIDEO ya nyimbo ya Waue ilioimbwa na Chege na Temba chini ya Mkubwa Fella.
Kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM  mwanadada huyo aliweka picha akiwa yupo LOKESHENI waki SHUT video hiyo...

Diva aliandika hivi:
wauwe location .. Video @chegechigunda Nitaonekana Katika Video ya Chege ..... and am so Excited ������

Tazama Jinsi Nicki Minaj alivyotokea akiwa na kinguo kinachoonyesha maziwa yake, Rihanna akasirishwa na perfomance yake

 Hajawahi kuwa mmoja wa wanaoficha maungo yao kwa nguo  kubwa lakini alichovaa siku ya jana ilikuwa ni hataru tupu.

Siku ya jumapili kwenye Summer Jam Hip Hop na R&B, Nicki Minaj alionekana akiwa amevaa ki top cha silver chenye  kuonyesha maziwa yake kikiwa kimezibwa na alama ya nyota kwenye nipples zake.

Mambo yalizidi kuwaka moto zaidi pale Nicki Minaj alipomrukia Drake kwenye stage na kuzungusha miguu yake kwenye kiuno cha Drake na kumuwekea mikono mabegani  na Drake nae kuzungusha mkono wake kwenye kiuno cha Nicki,
 kitu ambacho hakikumfurahisha Rihanna ambae alionekana kuweka sura ya mbuzi alipokuwa akitazama waliyokuwa wanayafanya stajini.
Rihanna na Drake kwa sasa wameachana aada ya kurudiana mda si mrefu tanguwalipoaznza kudate mwaka 2009 baada yakupokea kipigo kutoka kwa Chris Brown.

Tazam Picha zinazomake Headline za X-Girlfriend wake Davido

Huyu anaitwa Nish Kards, kutoka Ghana alikuwa mpenzi wa mwanamziki maarufu kutoka Nigeria, Davido, Kupitia ukurasa wake  INSTAGRAM, followers wake wamekuwa wakimfananisha na Kim Kardashian na kumuita The Ghana’s Kim Kardashian.....Hebu tumuone KOZ hata kajina  kiana kama la KIM..




Nyota Ndogo aelezea kwanini anahofia video yake ya ‘utupu’ inaweza kuvuja, na kilichomtokea hadi kurekodiwa akiwa mtupu.Soma kisa Kilivyokuwa

Muimbaji kutoka Mombasa, Kenya Nyota ndogo amejikuta katika hali ya wasiwasi baada ya kukutwa na mkasa wa karne hivi karibuni.
nyota
Nyota ameelezea kilichomkuta baada ya kuingia kwenye chumba cha hoteli ili abadili nguo, na kwa bahati mbaya alivua nguo zake mbele ya kioo cha chumba hicho bila kujua kioo hicho upande wa nje kinaonesha live bila chenga.
Kupitia akaunti yake ya Facebook Nyota Ndogo ameelezea kilichomsibu:
“yani nimekwenda show.nikapewa chumba chakubadili nguo.nimevua nguo zote najipaka mafuta pole pole kumbe najiangalia kwa kioo kumbe upande wapili naoneka kila kitu.yani nimekosa amani…aibu nilio iona mungu ndio anajua.sijui wamechukua video..haya ngoja tusubiri”.

nyota1

Hata hivyo Nyota amewapunguza wasiwasi mashabiki wake walio comment kumpa pole kwa kusema alibakiwa na nguo za ndani wakati hayo yanatokea.
“hapana nilibakisha cha ndani na nyonyo ilikua na nguo pia.kitu sielewi ni alienipeleka kubadili nguo ina maana hakujua nje naonekana?maana aliambia kioo hiki jiangalie mpaka miguu.”

nyota2

Tazama Picha za Red Carpet na Jinsi watu walivyotokelezea kwenye show ya Diamond Huko Houston Marekani








Moja Ya Picha Ilizo make Head Line Ni Hii ya Mh. Jakaya Mrisho Kikwete Kukutana Uso kwa Uso na Diamond Platnum Huko MANHATTAN, NEW YORK


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete masaa machache yaliyopita alipokutana na msanii wa muziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz, Manhattan,

Tazama Picha Jinsi Ray C alivyoingia Mtaani Kuwashauri Mateja Waachane na Madawa Ya Kulevya



 Ray C Foundation Wiki iliyopita tuliwatembelea waathirika wa madawa ya kulevya Kinondoni!!!tumeongea nao sana na kuwahamasisha waje kupata Tiba ya Methadone Mwananyamala....nimefurahisana kusikia kutoka Kwao kwamba na wao wamechoka na Maisha ya utumwa......Tuko pamoja nao kuhakikisha tunawasaidia.......

May 24, 2014

Hebu Tazama Amazing Pichures za Pre-wedding dinner ya Kanye West na Kim Kardashian iliyofanyika jana Paris, ndoa kufungwa leo (May 24) Italy

Jana Ijumaa (May 23) Kanye West na Kim Kardashian waliianza ratiba yao kuelekea siku ya harusi ya mwaka inayosubiriwa kwa hamu kubwa kwa kufanya ‘pre-wedding dinner party’ huko Paris, Ufaransa huku ndoa yenyewe ikitarajiwa kufungwa leo.
kimye1
Maharusi wakiongea mbele ya wageni waalikwa

Jana mitaa ya Paris ilishuhudia pilikapilika za wageni na mapaparazi wakielekea eneo ilipofanyika sherehe ya chakula cha jioni kabla ya ndoa (pre-wedding dinner), iliyohudhuriwa na wageni wanaokadiriwa kufikia 100 wakiwemo dada zake Kim, Kourtney, Khloe, Kylie, Kendall na mama yake Kris Jenner na wageni wengine mbalimbali.
kimye3
Kim na ndugu zake

Usiku huo ulipambwa na burudani mbalimbali ikiwa ni pamoja na mwimbaji aitwaye Lana Del Rey.
kimye2
Kwa mujibu wa ripoti, fataki zilitawala eneo la tukio, huku ikisemekana anga la eneo hilo siku ya jana lilikuwa ‘NO-FLY ZONE’, hakuna ndege yoyote iliyokatiza.
.
Chupa 1,000 za champagne ziliandaliwa kwaajili ya wageni waalikwa waliohudhuria.

Kwa mujibu wa Entertainment Tonight, maharusi watarajiwa Kimye waliwatangazia wageni waalikwa kuwa ndoa yao itafungwa siku inayofuata yaani leo Jumamosi (May 24) huko Italy.
kimye5
kimye6-kanye akilinda mali yake
Kanye akilinda mali yake

kimye7

Hebu Pata Muda wa Kujua Chanzo Chanzo cha Ugomvi Kati ya T.I.D na Dully Sykes Mpaka Kufikia Hatua ya Kurushiana Maneno

  

TID na Dully Sykes hawakai tena zizi moja. Wasanii hao wakongwe wanadaiwa kuzinguana baada ya Dully Sykes kutimiza miaka 15 nakudai kuwa kitu anachojivunia nikumfunika TID kwenye show iliyofanyika mwaka 2002 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee walipokuwa wakizindua album zao.
page

Kuwa Tayari kwa Lolote kutoka kwenye Hii Picha ya Vanessa Mdee na Shaa

Vanessa Mdee na Shaa kwenye wimbo mmoja? Patamu hapo! Katika kile ambacho kinaashiria kila dalili ya siku za usoni kuwepo collabo kati ya waimbaji hao wenye mashabiki wengi nchini, picha aliyoiweka Shaa kwenye Instagram, imevutia hisia za wengi waliotaka wafanye collabo.
shaa
Hata yeye mwenyewe Shaa anatamani hilo litokee. “Supporting @vanessamdee #SwitchOn #WomenSupportingWomen #love #smile kama naona collabo vile….haha,” aliandika Shaa kwenye picha hiyo. Mashabiki wao nao wameona umuhimu wa waimbaji hao warembo kukutana kwenye wimbo mmoja.
“I real want to see you @vanessamdee and @shaa_tz to sing together ntafurahi sanaaaa nawapenda mnoooooo,” aliandika shabiki mmoja na mwingine kuandika”I called it first…best combo!!!!.” Naye muongozaji wa video nchini Adam Juma

May 23, 2014

Naomba Niwasilishe Taarifa Hii kutoka kwa Uvumi Juu ya kufukuzwa kwa YuleMsichana na Mwanachuo wa Chuo wa UD Ambaye Kamake Headline Kwa Hii Video Yake,Pia Kaelezea kama ni Kweli Kafukuzwa Chuo Au Lah

Baada ya kusambaa kwa video ya mwanafunzi wa chuo aliedai kuchoka na shule mtandaoni na katika meseji fupi za whatsapp,leo kuna uvumi ulitokea kua binti huyo amefukuzwa chuo na blogs kadhaa zilinukuliwa zikisema "Tue makini kwa video tunazopost" na kuongeza kua binti yule aliepost ile video kafukuzwa chuo kwa sababu ni malaya....!!!!!


Binti kajitokeza na kusema kua hajafukuzwa chuo na kuomba wanaozusha waache kufanya hivyo wafanye mambo yao,pia alifikisha ujembe huo kupitia status ya whatsapp katika simu yake kama inavyoonesha hapo chini.Kwa mujibu wa chanzo chetu bado haijafahamika mara moja kama binti huyo alikua anafanya utani ama alikua serious na haijafahamika pia kama kweli kafukuzwa chuo ama 
 bado yuko chuoni.....!