Kajala na Aunt Ezekiel
Mtandao wa Global Publishers umedai kuwa ugomvi Wema Sepetu na Kajala Masanja umekwisha kufuatia kukalishwa katika kikao cha siri kilichofanyika kwenye msiba wa aliyekuwa muongozaji wa filamu marehemu George Otieno ‘Tyson’.
Aunt Ezekiel,Kajala pamoja na wenzake
Hata hivyo, katika mazishi ya marehemu Rachel Haule katika makaburi ya Kinondoni Wema Sepetu na Kajala Masanja kila mmoja alikaa kwa kundi lake.
Wema akiwa amekaa na wenzake kwenye msiba wa Rachel Haule
Kajala, Wolper na marafiki zao
From:Bongo5
No comments:
Post a Comment