Blogger Widgets
Showing posts with label Video & Audio. Show all posts
Showing posts with label Video & Audio. Show all posts

April 24, 2014

Video Iliyo Make HeadLine Leo ni Hii NYANDU TOZI FT MR BLUE, IVA SON & USWEGE

Leo kupitia kipindi cha XXL on Clouds fm Rapper Nyandu Tozi wa B.O.B Click ame achia Ngoma mpya inaitwa Mambo Mengine Baadae amemshirikisha swahiba wake wa kitambo kutoka Micharazo Mr Blue pamoja na wasanii wawili wapya kwenye game ya bongo flava Iva Son na Uswege, Nyandu pia amerelease Video ya ngoma hiyo iliyofanywa na Nick Dizzo,
Nyandu Tozi na MR Blue

Nyandu Tozi
Nyandu Tozi
Nyandu Tozi

March 10, 2014

Pata Muda sasa wa kusikiliza ile ngoma mpya ya Roma K.K.K..Sikiliza alivyoizungumzia "FURSA",Team Anaconda na Jinsi Kundi la watu wanavyoligawa hili soko la mziki


KKK 
Huu ni wimbo wa Roma ambao Teaser yake ilianza kuonekana wiki iliyopita kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii,jina la wimbo unaitwa KKK umefanyika Tongwe Records,kashirikishwa msanii mchanga kabisa kwenye muziki anaitwa Nicolazo ambaye kiasili anatokea Mtwara.
Bonyeza play kusikiliza.

February 28, 2014

Hapa Ndio Utata Uliotokea kati ya Drake na Rihanna

Drake n Riri

EEh baada ya Bey na baby wake kuonekana wanatia hamasa wakiwa jukwaani haswa wakiimba drunk in love, sasa Drake naye aanza kumuita mama ake jukwaani hebu jionee video
naona mashabiki nao vizabi pale Riri wakati anaimba  take care huku wakigusana gusana na Drake basi watu wapo hoiiii love is in the air.......

October 6, 2013

Sikiliza Sasa Nyimbo Mpya ya Diamond Platnum Inaitwa "KIFO CHANGU"


Mwanamziki namba 1 kwa kupiga show hapa Tanzania Diamond Platnumz hivi karibuni alitoa maneno akizungumza siku akifa itakuwawaje kitu ambacho kilizua maswali mengi sana kwa mashabiki wake ambao hawakutegemea hata siku moja kama atakuja kusema maneno kama hayo kwa mashabiki wake kwani yalizua mining'ono mingi sana. Katika kusema hayo maneno Diamond alisema ni moja kati ya nyimbo ambayo ameiandika na inamtoa machozi kia aisikapo.

Baadhi ya mashairi katika nyimbo hiyo alisema:

Vipi Maneke atanililia...??
Je wasanii wenzangu wataniimbia..??
Ama litafutika jina langu...??
Na nyimbo zangu hawatasikia..??
Vipi wasafi watanililia....??
Je ndugu rafiki watahudhuria..?? 
Ama nitakapokufa Sina changu..??
Hata mama yangu watamkimbia...??


Kwa mara ya kwanza pata kuisikiliza na kudownload nyimbo hiyo yenye maneno ya kuudhunisha kutoka kwa Diamond